Fee Structure

MAELEZO YA ADA NA GHARAMA NYINGINEZO

1. MAELEZO YA ADA
ADA YA KOZI NDEFU ZOTE ZA MWAKA MMOJA NA KUENDELEA ZITAKUWA KAMA IFUATAVYO:

  • ADA KWA MWAKA NI TSH.1,000,000.= AMBAYO ITALIPWA KWA AWAMU TATU;
  1. AWAMU YA 1: TSH.350,000 
  2. AWAMU YA 2: TSH.350,000 
  3. AWAMU YA 3: TSH.300,000

ADA YA KOZI FUPI ZOTE ZA MIEZI  SITA ZITAKUWA KAMA IFUATAVYO:

  • ADA KWA MIEZI SITA NI TSH 600,000.= AMBAYO ITALIPWA KWA AWAMU MBILI
  1. AWAMU YA 1: TSH.300,000    
  2. AWAMU YA 2: TSH.300,000    

RESEATERS AND QT KWA  MWAKA NI TSH 800,000

  1. AWAMU YA 1: TSH.400,000 
  2. AWAMU YA 2: TSH.400,000


COMPUTER REPAIR & MAINTENANCE KWA MIEZI 6 NI TSH 800,000

  1. AWAMU YA 1: TSH.400,000 
  2. AWAMU YA 2: TSH.400,000

ADA YA KOZI FUPI ZOTE ZA MIEZI  MITATU ZITAKUWA KAMA IFUATAVYO:

 ADA KWA MIEZI MITATU NI TSH 300,000.= AMBAYO ITALIPWA KWA AWAMU MOJA

MAELEZO YA KOZI ZINAZOTOLEWA

  1. Ualimu wa malezi na makuzi (ualimu wa shule za awali)  kozi ya miaka 2 pamoja na mazoezi                   
  2. Usaidizi wa ualimu wa malezi na makuzi KOZI YA MIEZI 12 pamoja na mazoezi    
  3. Usimamizi wa hotelini(Hotel Management) kozi ya miaka 2 pamoja na mazoezi na kozi fupi ya miezi 6 na miezi 12 pamoja na mazoezi                           
  4. Kuongoza wageni (Tour Guide) kozi ya miaka 2 pamoja na mazoezi na kozi fupi ya miezi 6 na miezi 12 pamoja na mazoezi                       
  5. Secretarial course) kozi ya miaka 2 pamoja na mazoezi na kozi fupi ya miezi 6 na miezi 12 pamoja na mazoezi
  6. Computer Applications) kozi ya miaka 2 pamoja na mazoezi na kozi fupi ya miezi 3, 6 ,9 na miezi 12 pamoja na mazoezi                                               
  7. Lugha kama English, French, kichina, Kijerumani, Hispaniola spanish n.k hizi ni kozi fupi za miezi 3,6 na kuendelea pamoja na mazoezi
  8. QT na reseaters kwa wale watakao jiunga na chuo wakiwa hawajatimiza ufaulu unaohitajika. Na darasa la saba watakaopenda kujiendeleza. 
  9. Pre Form 1        
  10. Upishi (food production) hizi ni kozi fupi za miezi 3,6 na kuendelea pamoja na mazoezi                                
  11. Mapambo na Ususi hizi ni kozi fupi za miezi 3,6 na kuendelea pamoja na mazoezi
  12. Ufundi cherehani  hii ni kozi ya mwaka mmoja  na kuendelea pamoja na mazoezi
  13. Ujasiriamali hizi ni kozi fupi za miezi 3,6 na kuendelea pamoja na mazoezi
  14. House keeping ni kozi fupi za miezi 3,6 na kuendelea pamoja na mazoezi
  15. Uandishi na utangazaji wa habari ni kozi fupi za miez 6 na kuendelea pamoja na mazoezi
  16. Computer Repair & Maintenance ni kozi fupi za miez 6 na kuendelea pamoja na mazoezi

2. GHARAMA NYINGINEZO
GHARAMA ZA BWENI/HOSTEL NI TSH 250 KWA SEMISTER ZIKO 2 KWA MWAKA.
KWA MIEZI 3 NI TSHS.200,000.=
UNIFORM NA HUDUMA NYINGINE ZOTE ZINAPATIKANA CHUONI

  1. UNIFORM STANDARD ZA DARASANI  PAIR 2@50,000.= Jumla 100,000.=
  2. TSHIRT   15,000.=
  3. TRACK SUIT.  40,000.=
  4. MTIHANI KWA MWAKA    40,000.=
  5. BIMA YA AFYA. KWA WASIOKUWA NAYO  56,000.=
  6. CHAKULA KIZURI KWA SIKU (KINAPATIKANA CHUONI)   3,500.=


ZINGATIA

  1. VITANDA NA MAGODORO VINAPATTIKANA CHUONI
  2. VIFAA BINAFSI MWANAFUNZI AJE NAVYO AU ATAVIIPATA CHUONI KWA BEI YA SOKONI KAMA MASHUKA, STATIONARY, NDOO, SABUNI N.K